Afrika Ya Mashariki

Mafundisho potofu kutoka kwa baadhi ya viongozi wa dini Afrika Mashariki

Informações:

Sinopsis

Tunaangazia namna viongozi wa dini wamekuwa kinara katika kupambana na mafundisho potofu na kutumia mahangaiko ya waumini wao kama mtaji wa kuvuna utajiri.