Sbs Swahili - Sbs Swahili

Vital Kamerhe achaguliwa kuwa spika mpya wa bunge la DRC

Informações:

Sinopsis

Wabunge wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamemchagua Vital Kamerhe, ambaye nyumba yake ilishambuliwa siku ya Jumapili, kuwa spika mpya.